Mwanahabari wa kujitegemea kupitia mtandao wa kijamii wa "josephtele.blogspot.com" ameamua kuachana na maisha ya kibachela na kuamua kuoa. Ndoa hiyo ya kifahari ilfungwa tarehe 2 mwezi Februari mwaka huu na kufuatia na sherehe kubwa katika ukumbi wa kambi ya jeshi Lugalo.Pongezi kwake na kila kheri katika maisha mapya aliyoyaanza.
Wanafunzi wa chuo cha Tumaini Dar ambao wanasoma darasa moja na bwana harusi wakiwa katika
pichamoja na maharusi baada ya kukabidhi.
Bwn. harusi Joseph Philbert na mkewe Bi. Consolatha Charles.
No comments:
Post a Comment