Wednesday, June 13, 2012

MHABARISHAJI WA MTANDAO HUU AFUNGA NDOA YA KIFAHARI.

                                                                      Joseph Philbert
Mwanahabari wa kujitegemea kupitia mtandao wa kijamii wa "josephtele.blogspot.com" ameamua kuachana na maisha ya kibachela na kuamua kuoa. Ndoa hiyo ya kifahari ilfungwa tarehe 2 mwezi Februari mwaka huu na kufuatia na sherehe kubwa katika ukumbi wa kambi ya jeshi Lugalo.Pongezi kwake na kila kheri katika maisha mapya aliyoyaanza.

                                          Wanafunzi wa chuo cha Tumaini Dar ambao wanasoma                                  darasa moja na bwana harusi wakiwa katika 
pichamoja na maharusi baada ya kukabidhi.

                                           kampani ya bwana na bibi harusi wakichukua chakula

                                      Bwn. harusi Joseph Philbert na mkewe Bi. Consolatha Charles.

No comments:

Post a Comment